Wilaya ya Kalambo


Wilaya ya Kalambo
Wilaya ya Kalambo is located in Tanzania
Wilaya ya Kalambo
Wilaya ya Kalambo

Location in Tanzania

Majiranukta: 8°18′12″S 31°31′10″E / 8.30333°S 31.51944°E / -8.30333; 31.51944
Nchi Tanzania
Mikoa Mkoa wa Rukwa

Wilaya ya Kalambo ni wilaya mpya katika mkoa wa Rukwa yenye postikodi namba 55400, ambayo ilianzishwa rasmi mnamo Machi 2012.[1]

Makao makuu ya wilaya yako Matai.

Mkuu wa wilaya wa kwanza alikuwa Moshi Chang'a. [2]

Wilaya limepokea jina kutoka mto Kalambo unaopita hapa hadi kuishia kweye Maporomoko ya Kalambo upande wa Zambia.

Idadi ya wakazi wa wilaya ilikuwa 207,700 wakati wa sensa ya mwaka 2012. [3] Katika sensa ya mwaka 2022 walihesabiwa 316,783 [4].

  1. Staff. "Tanzania: State Gazettes New Regions, Districts", 9 March 2012. Retrieved on 2014-01-13. Archived from the original on 2012-08-23. 
  2. Siyame, Peti. "Tanzania: Truance Irks Kalambo DC", 3 July 2012. 
  3. Sensa ya 2012, Rukwa - Kalambo District Council
  4. https://www.nbs.go.tz

© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search